FT:YANGA 2-1 SIMBA UWANJA WA MKAPA
YANGA imeanza kwa kutetea taji lao la Ngao ya Jamii kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa kwa mabao ya Fiston Mayele ambaye amemtungua Beno Kakolanya huku lile la Simba likifungwa na Pape Sakho. Simba walianza kufunga kipindi cha kwanza mapema dk ya 16 na kuwafanya waongeze hali…