
SUALA LA KUSHUKA DARAJA LIPO, MUHIMU KUJIPANGA
KAZI kubwa kwa sasa kwa timu zote ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara, Championship na Ligi ya Wanawake ni kusaka ushindi. Ipo wazi baada ya mapumziko ya muda kutokana na ratiba mbalimbali tayari mambo yanaanza kurejea taratibu. Tunaona wale ambao walikuwa kwenye Kombe l Mapinduzi wamerejea na waliokuwa wakifuatilia wameshuhudia bingwa mpya. Hongera kwa Mlandege kwa…