VIDEO:AZIZ KI NDANI YA UWANJA WA MKAPA LEO
KIUNGO wa Yanga, Aziz KI ni miongoni mwa mashabiki ambao walikuwa Uwanja wa Mkapa leo Agosti 28,2022 kutazama mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu CHAN kati ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars dhidi ya Uganda