Saleh
MSHAMBULIAJI MPYA YANGA AWATISHA SIMBA, ASEMA MAKOMBE MWANZO MWISHO
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Mzambia, Lazarus Kambole, amefunguka kuwa moja ya malengo yake ni kuhakikisha anaipa Yanga makombe mengi pamoja na kufikia malengo ya...
TETESI: MMILIKI MPYA CHELSEA AKUTANA NA WAKALA WA RONALDO
Mmiliki mpya wa Klabu ya Chelsea, Todd Boehly amekutana na Jorge Mendes ambaye ni Wakala wa Cristiano Ronaldo ikidaiwa wamezungumza kuhusu usajili wa Mshambuliaji...
FT:MBEYA CITY 1-1 YANGA, UWANJA WA SOKOINE
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Mbeya City dhidi ya Yanga umekamilika Uwanja wa Sokoine kwa timu zote mbili kugawana pointi mojamoja.
Ni Yanga...
KOMBE LIPO UWANJA WA SOKOINE,MBEYA CITY 0-1 YANGA
KOMBE Jipya la Ligi Kuu Bara la NBC lipo Uwanja wa Sokoine, Mbeya,ambapo mabingwa wa msimu wa 2021/22 watakabidhiwa mara baada ya kukamilisha dk...
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MBEYA CITY
HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Mbeya City,Uwanja wa Sokoine Mbeya hiki hapa:-
Diarra
Djuma
Yassin
Mwamnyeto
Job
Bangala
Aucho
Sure Boy
Ushind
Makambo
WAPE TABASAMU KUFANYIKA UWANJA WA SABASABA,MORO
ANAANDIKA Dickson Job,beki wa kikosi cha Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Starsnamna hii:-Habari watanzania. Mimi ni DICKSON JOB mchezaji wa Klabu ya...
KLOPP BADO ANAMKUMBUKA MANE
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool anaamini kwamba kuondoka kwa Sadio Mane ni jamo gumu kwake kwenda nalo sawa kwa sasa.
Mane raia wa Senegal...
RATIBA YA LIGI KUU BARA IPO HIVI
LEO Juni 25 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo ratiba yake ni moto kwa timu zinazopambana kushuka daraja kwa kuwa hatma yao itaanza kufahamika...
YANGA KUIKABILI MBEYA CITY
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo kitakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Mbeya City kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa...
GEITA GOLD YAFUNGIWA NA FIFA KUSAJILI
SHIRIKISHO la Kimataifa la Soka (FIFA) limeifungia Klabu ya Geita Gold kusajili wachezaji hadi itakapomlipa aliyekuwa kocha wa timu hiyo Ettiene Ndayiragije.
Kocha huyo raia...
HUYU HAPA WINGA MKENYA WA SIMBA,YANGA YAFUATA BEKI GHANA
Simba wamepania,yashusha winga Mkenya Dar na unaambiwa Yanga yashituka yafuata beki Ghana ndani ya Championi Jumamosi
SAUTI:HESABU ZA KMC NI KUIMALIZA BIASHARA UNITED
CRISTINA Mwagala, Ofisa Habari wa KMC amesema kuwa kesho watakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu dhidi ya Biashara United kwenye mchezo wa ligi...
MCAMEROON KUCHUKUA MIKOBA YA LWANGA SIMBA
WAKATI wakijua kuwa wataachana na kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga, uongozi wa Simba upo kwenye mawindo makali ya kumchukua kiungo Cedric Zemba Ekong raia...
YANGA WASHITUKA, YAFUATA BEKI GHANA
MABOSI wa Yanga wameiangalia ripoti ya Kocha Mkuu wa Yanga, Mtunisia Nasreddine Nabi haraka wakachukua maamuzi magumu ya kumfuata beki Mghana, Mohammed Alhassani.
Beki huyo...
SIMBA WAMEPANIA, YASHUSHA WINGA MKENYA DAR
JANA asubuhi sana Simba ilimshusha winga wa kimataifa raia wa Kenya, Harrison Mwendwa kwa ajili ya kufanya mazungumzo ya kumsajili kuelekea katika msimu ujao.
Simba...
SAUTI:SIMBA QUEENS NA FOUNTAIN GATE KUTAMBULISHA WACHEZAJI KESHO
UWANJA wa Mkapa, kesho Juni 25,2022 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa hisani kati ya mabingwa wa Ligi ya Wanawake Tanzania, Simba Queens dhidi ya washindi...
NYOTA BIASHARA UNITED KUSEPA MSIMU UKIISHA
NYOTA wa Biashara United, Ramadhan Chombo ‘Redondo’ ameweka wazi kuwa msimu ujao atakuwa nje ya Biashara United ambayo anaitumikia kwa sasa.
Ikumbukwe kwamba nyota huyo...