


WINGA TP MAZEMBE AIPENYEZEA YANGA SIRI ZA USHINDI
WINGA wa zamani wa Yanga na TP Mazembe, Chiko Ushindi Wakubanza, amesema kama Yanga watapambana zaidi na kucheza kwa moyo mmoja, basi watapata matokeo mazuri mbele ya TP Mazembe, huku akibainisha kwamba. Ushindi ambaye aliitumikia Yanga msimu uliopita kwa mkopo akitokea TP Mazembe, kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Don Bosco ya nchini DR Congo…

CAF AFICANSCHOOLS FOOTBALL LEO NI LEO CHAMAZI
MASHINDANO ya vijana wa shule za Afrika Mashariki (CECAFA) yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi leo Ijumaa katika Uwanja wa Azama Complex Chamanzi. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku tatu yanashirikisha jumla ya nchi nane kutoka Afrika mashariki na kati huku Tanzania akiwa ndio mwenyeji wa michuano hiyo. Hizi ni mechi za Kanda za kufuzu…

DAWA YA WAARABU IMEPATIKANA, KAZI KWA MKAPA
DAWA ya Waarabu imepatikana, kazi kwa Mkapa Jumamosi

POROJO HAZIJENGI, KIMATAIFA VITENDO ZAIDI KWA MKAPA
KIKOMBE wanachokutana nacho wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ni cha moto ni muhimu kukishika kwa tahadhari na sio porojo. Kwa Yanga ambao Jumapili watacheza dhidi ya TP Mazembe na Simba ambao watacheza dhidi ya Raja Casablanca wote wapo kwenye eneo gumu na wasipofanya maandalizi mazuri itakuwa ngumu kwao kupenya. Nafasi za kushinda ni…

BARCELONA NA MAN U NGOMA NZITO
NGOMA ilikuwa ni nzito kwenye mchezo wa Europa League baada ya wababe wawili kutoshana nguvu kwenye mchezo huo. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Cam Nou ulisoma Barcelona 2-2 Manchester United. Ni mashuti 18 timu zote mbili zilipiga kuelekea kwenye lango la wapinzani wao huku Barcelona wao mashuti 8 yakilenga lango alilikuwa Degea…

ISHU YA FEISAL YANGA IPO HIVI,CHAMA,BALEKE WAWEKWA MTU KATI
KUHUSU Kurudi, ishu ya Yanga, Feisal ipo hivi, mabosi wawaweka kitimoto Baleke,Chama ndani ya Championi Ijumaa

KIPA YANGA NDO BASI TENA
KIPA namba tatu wa Yanga Aboutwalib Mshery atakuwa nje kwa muda wa msimu ambao umebaki kutokana na uendelea kupambania kurejea kwenye ubora wake, kila la kheri mpambanaji

ROBERTINHO: SAIDO KARUDI, RAJA HAWATOKI
KOCHA wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa, watakuja kuzifunga timu zote kwenye Uwanja wa Mkapa wakianza na Raja Casablanca kwa kuwa wachezaji wake muhimu akiwemo Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ watakuwa fiti. Robertinho ameweka wazi kuwa, kilichowafanya wafungwe kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya wakiwa ugenini ni kukosa bahati…

KOCHA MAZEMBE AINGIA MCHECHETO
KOCHA Mkuu wa TP Mazembe mwenye uraia wa Ufaransa, Franck Dumas amesema kuwa ubora wa wachezji wa Yanga kama Aziz Ki na Fiston Mayele ni sababu ya wao kuwa siriazi ili kupata matokeo. TP Mazembe wanatarajiwa kucheza na Yanga Jumapili katika Uwanja wa Mkapa ukiwa ndio mchezo wao wa kwanza ugenini mara baada ya kuanza…

KILICHOWAMALIZA SIMBA, KILIWALIZA YANGA KIMATAIFA
KWENYE anga za kimataifa kilichowaua Simba ugenini kiliwamaliza Yanga pia ugenini kutokana aina ya mabao ya mapigo huru yaliyowapa tabu wawakilishi wa kimataifa. Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika walianza kuonja joto ya jiwe kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Horoya ya Guinea ilikuwa ni Februari 11. Wakati ubao wa Uwanja wa General Lansana…

GUARDIOLA AWANYOOSHA ARSENAL
KOCHA Mkuu wa Manchester City amekiongoza kikosi hicho kusepa na ushindi mbele ya Arsenal. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England licha ya kwamba walikuwa ugenini waliwashushia kichapo wenyeji wao na kusepa na pointi tatu mazima Februari 15,2023 na kuongoza ligi. Baada ya zile dakika 90 za jasho ubao wa Uwanja wa Emirates pale kwa washika…

SIMBA:MWARABU ANAKUFA NNE,YANGA YAIWEKEA MTEGO TP MAZEMBE
SIMBA: Mwarabu anakufa nne, Yanga yaiwekea mtego TP Mazembe ndani ya Spoti Xtra Alhamisi

LEO KITAWAKA FC BARCELONA VS MANCHESTER UTD PATA ODDS KUBWA NA BOMBA KUTOKA MERIDIANBET
Pata Odds kubwa na bomba kutoka Meridianbet mabingwa wa ubashiri na kasino ya mtandaoni, Leo Ligi ya Uropa na Europa Conference League zote zitaendelea kwa siku mbili Alhamisi na Ijumaa, mechi kubwa ni FC Barcelona vs Manchester Utd. Jiunge na Meridianbet upate odds kubwa, lakini pia kasino ya mtandaoni yenye michezo kama Poker, Aviator, Roulette…

YANGA MACHO YOTE KWA TP MAZEMBE
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kwenye mchezo wao wa Jumapili dhidi ya TP Mazembe huku yale yaliyotokea Tunisia wakiyaweka kando. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Februari 12 ilishuhudia ubao ukisoma US Monastir 2-0 Yanga kwenye mchezo wa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Jana msafara wa…

MALENGO YA SIMBA KIMATAIFA YAPO HIVI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa malengo makubwa kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ni kupata ushindi. Ni Februari 18,2023 Simba ina kazi nzito ya kusaka ushindi dhidi ya vigogo Raja ambao wanaongoza kundi C wakiwa wametoka kuwatungua Vipers mabao 5-0. Leo Februari 15,2023 Simba imefanya uzinduzi wa kampeni…

FEISAL NYOTA WA YANGA APATA AJALI
IMEELEZWA nyota wa Yanga Feisal Salum amepata ajali lakini yupo salama huko visiwani Zanzibar baada ya kugongana na bodaboda. Nyota huyo kwa sasa yupo Zanzibar baada ya kuwa kwenye sakata la mvutano na mabosi wake wa Yanga. Yanga wao wanahitaji mchezaji arejee ndani ya kikosi hicho kwa kuwa bado ana mkataba huku mchezaji akihitaji kuondoka.