
VIDEO:NABI:HATUKUCHEZA VIZURI LAKINI TUMEPATA POINTI TATU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwenye mchezo wao dhidi ya Namungo hawakucheza vizuri lakini walipata matokeo mazuri kutokana na kuwapa muda wachezaji wengine ambao walikuwa wanasumbuliwa na majeruhi