
AZAM FC YAISHUSHA SINGIDA BIG STARS
USHINDI waliopata dhidi ya Ruvu Shooting unawapeleka nafasi ya tatu kwenye msimamo 53. Ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro ulisoma Ruvu Shooting 1-3 Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Aprili 22,2023. Ruvu wanagotea nafasi ya 16 wana pointi zao 20 wamecheza wote mechi 27. Azam FC wanaishusha Singida Big Stars kwenye nafasi ya…