Saleh

WAKALI WAKIWA LANGONI HAWA HAPA

MIONGONI mwa makipa ambao hawajafungwa kwenye mechi zaidi ya tano jina la Said Kipao ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime jina lake pia. Anakumbuka alikuwa langoni alitunguliwa mabao matano na Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kipa huyo wa Kagera Sugar hajafungwa kwenye mechi sita ndani ya Ligi Kuu…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC. Mshindi wa mchezo huo atakutana na mshindi kati ya Singida Big Stars v Yanga mchezo unaotarajiwa kupangiwa tarehe kutokana na Yanga kuwa na kazi ya kusaka ushindi mchezo wa nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mei…

Read More

ISHU YA FEISAL TFF HUKUMU IMEGOTEA HAPA

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji la Shirikisho la MPIRA wa Miguu Tanzania,(TFF) limetupilia mbali maombi ya Feisal Salum kuhusu kesi yake na Yanga. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo imeeleza kuwa Mei 4,2023 pamoja na mambo mengine lilisikiliza shauri la mchezàji Feisal Salum aliyewasilisha malalamiko akitaka kuvunja…

Read More

MANCHESTER UNITED WAPOTEZA POINTI JIONI

POINTI tatu za kikatili wamesepa nazo Brighton mbele ya Manchester united ambao walikuwa wanadhani wangeweza kupata angalau pointi moja ugenini. Ubao wa Uwanja wa Falmer ulibadilika usomaji wake dakika ya 90+9 uliposoma Brigton 1-0 Man U. Bao la pekee la ushindi mtupiaji ni Alexis Mac Allister aliwanyanyua mashabiki wa timu yake na kuwapa maumivu wale…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO MTIBWA SUGAR

NDANI ya Ligi Kuu Bara mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Charles Ilanfya ametupia mabao manne akiwa ni namba moja kwa utupiaji kwenye kikosi hicho kilicho nafasi ya 12 na pointi 29. Ikumbukwe kwamba kinara wa utupiaji anatokea ndani ya Yanga ambaye ni Fiston Mayele mwenye mabao 16. Ni mabao 27 safu ya ushambuliaji ya Mtibwa Sugar…

Read More

SINGINDA WAPOTEZA,YANGA UBINGWA WANUKIA

IKIWA Uwanja wa Liti, Singida Big Stars imeshuhudia pointi tatu zikisepa mazima kuelekea kwa wapinzani wao Yanga. Ubao umesoma Singida Big Stars 0-2 Yanga huku kazi ikimalizwa kipindi cha kwanza. Mabao ya Aziz KI na Clement Mzize yameipa Yanga pointi tatu na wanafikisha pointi 71 kibindoni wakielekea kutetea ubingwa wa ligi. Mchezo ujao dhidi ya…

Read More

ZAMA ZA AZAM FC NA SIMBA ZILIKUWA NGUMU

ZAMA za Obrey Chirwa ndani ya Azam FC walipokutana na Simba ilikuwa kazi kubwa kumzuia kwa mabeki wakiogozwa na Joash Onyango. Mechi zao zote wanapokutana uwanjani huwa sio nyepesi na kwenye ligi msimu huu Azam FC wamesepa na pointi nne huku Simba wakisepa na pointi moja. Kwa sasa Chirwa yupo zake ndani ya Ihefu akipambania…

Read More

SINGIDA BIG STARS 0-2 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Liti unasoma Singida Big Stars 0-2 Yanga ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara, mzunguko wa pili. Singida Big Stars imeshuhudia mabao yakifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo huo ambao unafuatiliwa na mashabiki wengi duniani. Ni Aziz KI alipachika bao la kwanza kwa shuti kali ambalo lilimpoteza mlinda mlango Benedickt Haule…

Read More

MWAMBA WA LUSAKA NGOMA NZITO MSIMBAZI

CLATOUS Chama kiungo mshambuliaji ndani ya kikosi cha Simba anapitia kipindi kigumu cha mpito kutokana na kasi yake ya kufunga kugota kwa muda mrefu akipitisha dakika 663. Kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele anayekipiga Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Kwenye mechi 8 za ligi ambazo alipata nafasi ya kucheza Chama hakufunga kituo kinachofauata…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA SINGIDA BIG STARS

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji pointi tatu kwenye mchezo wao wa ligi dhidi ya Singida Big Stars unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Mei 4, Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu ambazo Singida Big Stars nao wanazihitaji pointi hizo. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua uimara wa wapinzani wao…

Read More

MKIA WAWA MGUMU KWA NAMUNGO V SIMBA

MKIA wa pointi tatu kwa wababe Namungo na Simba umekuwa mkubwa kuliko na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Simba walianza kupachika bao dakika ya 27 kupitia kwa Jean Baleke liliwaongezea hasira Namungo kusaka bao la kuweka usawa. Ni Hassan Kabuda dakika ya 39 alimtungua Ally Salim akitumia makosa ya kipa huyo namba tatu kwenye kuokoa hatari….

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU SINGIDA BIG STARS

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema wanatambua ugumu wa mchezo wao dhidi ya Singida Big Stars lakini wapo tayari. Vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 68 baada ya kucheza mechi 26 kesho Mei 4 wanatarajiwa kumenyana na Singida Big Stars, Uwanja wa Liti. Kaze amesema:”Tunawaheshimu wapinzani wetu na tunatambua wapo imara hivyo tutaingia…

Read More