
GAMONDI APITA NJIA ZA NABI, MASTAA SIMBA WAJIAPIZA CAF
GAMONDI apita njia za Nabi, mastaa Simba wajiapiza CAF
GAMONDI apita njia za Nabi, mastaa Simba wajiapiza CAF
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kazi yao kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 25 2023. “Tunakazi moja tu ya kumnyoa ASEC Mimosas, tunatambua wapinzani wetu wataleta…
MATUMAINI ya mashabiki wa Tanzania ni kuona kwamba wachezaji wanapata matokeo mazuri. Ipo hivyo hata wapambanaji wenyewe wanapoingia kwenye mapambano malengo ni kushinda. Mwisho matokeo ya mpira yanaptikana baada ya dakika 90. Kuna atakayeshinda na atakayeshindwa wakati mwingine inatokea wote wanatoshana nguvu kwenye mchezo husika. Kwa kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya ASEC Mimosas. Timu hiyo inatarajiwa kusaka ushindi kwenye mchezo huo wa hatua ya makundi Uwanja wa Mkapa Novemba 25 ikiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa…
KIUNGO wa kazi ndani ya Azam FC, Ayoub Lyanga ameweka wazi kuwa kulikuwa na ofa nyingi mkononi mwake kabla ya kuwachagua matajiri hao wa Dar. Ni 2020 Lyanga aliibukia ndani ya Azam FC akitokea Coastal Union ya Tanga iliyokuwa ikinolewa na Juma Mgunda wakati huo. Miongoni mwa timu ambazo zilikuwa zinatajwa kuwania saini ya kiungo…
VIGINGI saba vya kocha mpya wa Simba mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira
MCHEZO uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 21 2023 umeacha maumivu kwa mashabiki kwa kushuhudia timu pendwa ikipoteza. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Tanzania 0-2 Morocco huku nyota Dismas akiingia kwenye orodha ya wachezaji walioonyeshwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano. Ni mabao ya Hakim Ziyechi dakika ya 28 na Lusajo Mwaikenda…
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa mpango kazi mkubwa kwenye mechi yao dhidi ya Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi Novemba 24 kisha wakimaliza kazi hiyo watarejea Dar kumenyana na Al Ahly Desemba 2. Gamondi amesema kuwa kila mchezo ni…
Unakikumbuka kisa cha mchezaji wa timu ya taifa ya Morocco na PSG Achraf Hakimi na mkewe Hiba Abouk kudai nusu ya mali za mume wake baada ya kutalakiana. Mchezaji huyo leo atashuka uwanja wa Benjamin Mkapa na timu yake ya taifa ya Morocco mchezo wa kufuzu kombe la dunia, meridianbet wameupa mchezo huu odds…
RASMI Tanzania Prisons imeachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Freddy Felix Kataraiya Minziro kufuatia matokeo yasiyoridhisha na sasa Maafande hao watabaki chini ya msaidizi, Shaban Mtupa. Minziro alijiunga na Wajelajela hao mapema msimu huu ambapo ameiongoza mechi tisa za mashindano ya Ligi Kuu akishinda mechi moja, sare nne na kupoteza minne na kuwa…
TUMEONA namna ambavyo wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars walivyokamilisha majukumu yao kwa kupata ushindi. Haikuwa kazi rahisi kushinda mchezo dhidi ya Niger ugenini hivyo wanastahili pongezi. Kuanzia benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki pongezi zinawastahili kwa kuwa wamefanya kazi kubwa. Furaha ambayo wameipata wachezaji inapaswa kuwa endelevu. Furaha ambayo wameipata mashabiki…
YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa ni muhimu kwa wachezaji wake kuongeza umakini wakiwa kwenye mechi za ushindani ili kupata matokeo mazuri. Timu hiyo kwenye mechi mbili za ugenini ilikomba pointi zote sita kwa sasa ipo Dar kwa maandalizi ya mchezo wake ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Ni pointi 19…
CHINI ya Kocha Mkuu Adel Amrouche timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliwaduwaza wenyeji wao Niger kwa kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026. Mchezo huo uliochezwa jijini Marrakech, Morocco baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Marrakech Annex One ulisoma Niger 0-1 Tanzania. Bao pekee la ushindi…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawaonyesha nguvu ya mashabiki wapinzani wao ASEC Mimosas kwa vitendo kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo huo. Novemba 25 Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Uwanja wa Mkapa wakiwa na tuzo ya mashabiki bora wa African Fotball League. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano…
81 Crystal Fruits ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka Meridianbet inayojumuisha nguzo nne zilizopangwa katika mistari mitatu na una mistari ya malipo saba. Ili upate Bonasi ya Kurudia (Re-Spin Bonus), mchezo unakuwa na mchanganyiko wa ushindi aina 81. Ili kushinda, unahitaji kupata alama tatu au nne zinazofanana katika mfuatano wa ushindi. Mchanganyiko wowote wa kushinda…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu katika Ligi ya Mabingwa Afrika ni kupata pointi tatu kwenye kila mchezo ikiwa ni pamoja na Waarabu wa Misri, Al Ahly. Ikumbukwe kwamba Al Ahly waliwafungashia virago Simba kwenye African Footbal League kwa faida ya mabao ya nyumbani baada ya mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Simba…
UKIWA ni mchezo wa ugenini kwa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Novemba 18 ilifanikiwa kupeta na kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Niger katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali ya Kombe la Dunia 2026. Bao pekee la mchezo huo wa kwanza kuwania kufuzu Kombe la Dunia limefungwa na Charles M’mombwa dakiak…