Saleh
BINGWA MPYA WA TFF BONANZA APATIKANA
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amewakabidhi Kombe Mabingwa wa 3rd TFF Media Day Bonanza 2022 Uhuru Media na...
SIMBA KAMILI KUVAANA NA WAJEDA, REKODI ZAO ZINAWATESA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wake Eagle kwenye mchezo wa raundi ya Pili Kombe la...
ISHU YA KIUNGO MGANDA KUGOMEA MKATABA YANGA IPO HIVI
ISHU ya kiungo Mganda kugomea mkataba Yanga ipo hivi
AZAM FC YAISHUSHIA KICHAPO MALIMALO
MCHEZO wa Raundi ya Pili, Azam Sports Federation, Desemba 9,2022 ikiwa ni siku ya kumbukizi ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania ni mabao...
ARGENTINA YA LIONEL MESSI YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA
MWAMBA Emiliano Martinez kipa wa Timu ya Taifa ya Argentina aliokoa penalti mbili kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali.
Ni ile iliyopigwa na beki...
MSHINDI WA PROMOSHENI YA BETI NA KITOCHI MERIDIANBET
Kila mmoja ana ndoto kubwa ya kumiliki vitu vizuri, lakini vikwazo vya Maisha na bajeti kubana hukwamisha ndoto ya wengi kumiliki vitu wanavyovitaka, kwa...
BRAZIL NDO BASI TENA KOMBE LA DUNIA2022
KUNA wakati unakuwa juu kutokana na furaha kisha unashuka chini kutokana na huzuni, haya ni maisha na yametokea kwenye mchezo wa kuwania kutinga hatua...
VIDEO:JEMBE AICHAMBUA SIMBA YA ZAMANI/REKODI HAIJAVUNJWA
JEMBE aichambua Simba ya zamani, rekodi bado haijavunjwa
KOMBE LA DUNIA ROBO FAINALI ZA KIBABE
MECHI za hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Dunia zinatarajiwa kuanza kazi leo Ijumaa ambapo miamba wa soka Ulaya na Amerika...
VIDEO:JEMBE:KIPA WA NAMUNGO KAWAFUNGISHA,MAKIPA WAGENI SIO WA AFYA
SALEH Jemba amvaa kipa Namungo,amewafungisha, aichambua Yanga
VIDEO:MANENO YAKE KOCHA YANGA KABLA KUFUTWA KAZI
EDNA Lema aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga Princess mchezo wake wa kwanza akiwa nyumbani alipoteza mchezo huo na maneno yake ya mwisho aliweka wazi...
AZAM FC KUTUPA KETE YAO DHIDI YA MALIMAO
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Kali Ongala ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Azam Sports Federation leo dhidi ya Malimao.
Huu...
RONALDO AZUA JAMBO, ASISITIZA KUNA MUUNGANIKO
CRISTIANO Ronaldo nyota wa Timu ya Taifa ya Ureno amesisitiza kwamba timu hiyo ina muunganiko mkubwa huku kukiwa na nguvu kutoka nje zinazotaka kukivunja...
NI ZIPI ODDS KUBWA ZA MERIDIANBET MECHI ZA ROBO FAINALI WC...
Ile Barabara ya kwenda fainali ya Kombe la Dunia sasa imekamilika mkandarasi aliyehusika kuijenga barabara hiyoni FIFA akishirikiana na wahandisi kutoka Qatar na mafundi...
KAULI YA BOBOSI ANAYEWINDWA NA YANGA
KAULI ya Bobosi anayewindwa na Yanga kwa ajili ya kumpa dili kwenye dirisha dogo la usajili
MWAMBA AZIZ KI, MTAMBO WA MAPIGO HURU
KWA mzunguko wa kwanza majukumu ya mipira iliyokufa ndani ya kikosi cha Yanga yalikuwa kwenye miguu ya Aziz KI.
Nyota huyu bado hajaonyesha makeke yake...
SIKU SITA TU, BONGE LA BEKI LINAKUJA, AZAM WANAMTAKA FEI TOTO
SIKU sita tu..
Bonge la beki linakuja Simba, Azam wako siriazi kwa Fei Toto mjue, ndani ya Championi Ijumaa