
SABABU YA MBABE WA YANGA KUFUTWA KAZI HII HAPA
MAKUBALIANO ya pande zote mbili kati ya uongozi wa Ihefu na Zuberi Katwila ambaye alikuwa kocha mkuu wa timu hiyo yaliamua mwisho wa Katwila kuwa ndani ya kikosi hicho. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na klabu hiyo kwenye ukurasa wake wa Instagram, Oktoba 14,2023 Ihefu SC haitakuwa na Katwila kwenye benchi la ufundi baada ya…