
MANULA, BOCCO OUT SIMBA IKIWAFUATA JWANENG
MAPEMA kabisa Desemba Mosi 2023 kikosi cha Simba kimekwea pia kueleka Botswana kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao utakuwa ni wa pili kwao. Mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas hivyo waligawana pointi mojamoja na langoni alikaa Ayoub Lakred ambaye yupo…