Saleh
TWAHA KIDUKU AFANYA KWELI
BONDIA Twaha Kiduku amechapa Lago Kiziria kutoka Georgia kwa pointi na kufanikiwa kutetea taji lake la UBO huku akishinda taji jipya la PST hapa...
SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA WYDAD
KIWA Uwanja wa Mkapà klabu ya Simba imepata ushindi wa bao 1-0 Wydad Casablanca.
Huu ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo...
POLISI TANZANIA YAPANDA NAFASI MOJA
USHINDI ambao wameupata Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu umewaondoa kutoka nafasi ya 16 mpaka 15.
Katika mchezo uliochezwa Aprili...
SIMBA 1-0 WYDAD CASABLANCA
UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Simba 1-0 Wydad Casablanca ikiwa ni hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Bao la kuongoza limefungwa na mshambuliaji Jean...
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA
IKIWA ni mchezo wa hatua ya robo fainali ni Ally Salim ameanza langoni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi...
VIDEO:KOCHA YANGA AICHAMBUA MECHI YA SIMBA V WYDAD
EDNA Lema alyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Princess ameichambua mechi ya Simba v Wydad ambayo ni ya Ligi ya Mabingwa Afrika
VIDEO:MAYELE ATOBOA SIRI KUPIWA SIMU NA KIUNGO SIMBA
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amefungukia ishu ya kupigiwa simu na kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin ambaye alimchezea faulo mbaya kwenye mchezo wa Kariakoo...
KIMATAIFA HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI,KUJITUMA MUHIMU
SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali.
Kwa mashabiki wakati...
MICHEZO Ligi Mbalimbali Za Kukupatia Pesa Wikendi Hii Unaanzaje Wikendi Yako?
Ligi mbalimbali Duniani kuendelea wikendi hii huku kila timu ikihitaji kusaka pointi 3 muhimu ili kusalia kwenye ligi, wengine wakipambania Ubingwa na wengine...
SIMBA WAPANIA KUFANYA KWELI KWA MKAPA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na MawasilianoSimba amesema wataushangaza ulimwengu kwa kuwapelekea moto wapinzani wao Wydad Casablanca kwenye mchezo wa Ligi ya...
CHEZA MERIDIANBET KASINO USHINDE TSH 2,500,000/=
Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni!
Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27...
VIDEO:SIMBA YAWACHAMBUA WAARABU WYDAD
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mchezo wao dhidi ya Wydad ni kubwa na yenye hadhi ya kipekee na...
SEVILLA HAO NUSU FAINALI
KLABU ya Sevilla imetinga hatua ya nusu fainali Europa League kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-2 Manchester United.
Katika mchezo wa robo fainali wa...
MUZIKI WA YANGA WAITISHA RIVERS, YANGA YAIPA SIMBA MILIONI 188.9
Kutoka Nigeria....Muziki wa Yanga waitisha Rivers,Yanga yaipa Simba milioni 188.9 ñdani ya Championi Ijumaa
VIDEO”ALLY KAMWE AWACHAMBUA WAPINZANI WAO RIVERS
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amewachambua wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambao ni Rivers United.
Msafara wa Yanga tayari umeanza safari mapema...
CITY YATINGA NUSU FAINALI UEFA
MANCHESTER City inatinga hatua ya nusu fainali UEFA Champions League kwa jumla ya ushindi wa mabao 1-4.
Katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Allianz Arena...