Wakati Yanga wakiwa katika utambulisho wa mchezaji mmojammoja walipotua katika makao makuu ya Yanga Jangwani, Fiston Mayele aliamua kutetema wakati alipotambulishwa kuja kuwapungia mkono mashabiki wa timu hiyo waliojaza Jangwani yote na kuamsha shangwe la maana.