Kikosi cha Simba SC tayari kipo mkoani Kagera kwaajili ya kuvaana na Kagera Sugar kwenye mtanange wa NBC Premier League hapo kesho Jumatano dimbani Kaitaba mjini Bukoba.
Kikosi cha Simba SC tayari kipo mkoani Kagera kwaajili ya kuvaana na Kagera Sugar kwenye mtanange wa NBC Premier League hapo kesho Jumatano dimbani Kaitaba mjini Bukoba.