NI KIVUMBI KWA MKAPA, SIMBA KUKIWASHA DHIDI YA CS CONSTANTINE

Michuano ya kombe la Shirikisho Afrika inaendelea kutimua vumbi leo Januari 19, 2024 huku wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya CAF, Simba Sc wakiwa kibaruani kwenye mchezo wa raundi ya mwisho wa Kundi A dhidi ya vigogo wa Algeria, CS Constantine katika dimba la Benjamin Mkapa.

Simba Sc waliopo nafasi ya pili pointi 10 baada ya mechi 5 tayari wameshafuzu lakini mchezo huu ni muhimu kwa ajili ya kuongoza Kundi wakihitaji ushindi tu ili wakwee kileleni mwa msimamo wa Kundi A.

16:00 Simba Sc ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ vs ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ CS Constantine
๐ŸŸ๏ธ Benjamin Mkapa

1. ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ CS Constantineโ€”mechi 5โ€” pointi 12
2. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba Scโ€”mechi 5โ€” pointi 10
3. ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Bravos do Marquisโ€”mechi 5โ€” pointi 7
4. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ CS Sfaxienโ€”mechi 5โ€” pointi 0

MECHI ZINGINE CAFCC

16:00 CS Sfaxien ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ vs ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Bravos
19:00 Al Masry ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ vs ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Black Bulls
19:00 Zamalek ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ vs ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Enyimba
22:00 Asec Mimosas ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ vs ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ผ Orapa United
22:00 RS Berkane ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ vs ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Stellenbosch
22:00 Stade Malien ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ vs ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด CD Lunda Sul
22:00 USM Alger ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ vs ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Jaraaf

MECHI ZA LEO CAFCL
19:00 Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ vs ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ AS FAR Rabat
19:00 Raja AC ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ vs ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Maniema Union