MWAMBA Kibu Dennis kiungo mshambuliaji wa Simba atakutana na adhabu kutoka kwa Simba kutokana na kitendo chake cha kuchelewa kujiunga na timu hiyo kwenye kambi kujiandaa na msimu wa 2024/25 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Tottenham Hotspur forward Dominic Solanke battles with Crystal Palace defender Maxence Lacroix during the English championship Premier League football match between Crystal Palace and Tottenham Hotspur on 27 October 2024 at Selhurst Park in London, England - Photo Ian Stephen / ProSportsImages / DPPI (Photo by IAN STEPHEN / ProSportsImages / DPPI via AFP)