KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz Ki ameweka wazi kuwa Clatous Chama ni kiungo mwenye uwezo mkubwa hivyo ni furaha kuwa naye katika kikosi kwa msimu wa 2024/25. Kumbuka kwamba Chama aliibuka Yanga akitokea Simba alitambulishwa Julai Mosi 2024.
Soccer Football - International Friendly - Spain v Brazil - Santiago Bernabeu, Madrid, Spain - March 26, 2024 Spain's Rodri scores their third goal from the penalty spot REUTERS/Violeta Santos Moura