>

WANAANZA MAISHA MAPYA SEHEMU NYINGINE TENA

USAJILI wa dirisha dogo Januari 15 usiku ulifungwa ambapo timu kadhaa zimetambulisha nyota wao wapya kwa ajili ya kuwa ndani ya changamoto mpya msimu wa 2023/24.

Hapa tunakuletea baadhi ya nyota waliotambulishwa ndani ya timu shiriki Ligi Kuu Bara namna hii:-

Geita Gold

Erick Mwijage kutoka West Armenia.

Mtibwa Sugar

Jimmyson Mwanuke alikuwa ndani ya Simba

 Nasoro Kapama alikuwa ndani ya Simba

 Shabani Msala alikuwa Ihefu kwenda Mtibwa
Charles Ilanfya alikuwa Ihefu kwenda Mtibwa

Mashujaa

Erick Johora ni mlinda mlango alikuwa Geita Gold atakuwa ndani ya Mashujaa
Mapinduzi Balama kutoka Coastal Union

 Reliants Lusajo- Namungo kwenda Mashujaa FC

Emmanuel Mtumbuka kutoka Stand United

 David Ulomi-Moloka Swallows kwenda Mashujaa

KMC
Shaban Chilunda alikuwa ndani ya Simba

Abdallah Lanso-Mlandege

 Akram Mhina alikuwa KVZ

Namungo
Meddie Kagere alikuwa ndani ya Singida Fountain Gate.

Ayoub Semtawa- huru kwenda Namungo.

JKT Tanzania

 Shiza Kichuya alikuwa  Namungo

Simba

Boubacar Sarr alikuwa mchezaji huru kwenda Simba
Omar Jobe

 Salehe Karabaka-kutoka KVZ

Ladack Chasambi- kutoka Mtibwa

Fredy Michael mshambuliaji raia wa Ivory Coast

Ihefu
Manu Lobota kutoka  FC Lupopo
Abubakar Khomeiny alikuwa Singida Fountain Gate.

Yanga
Augustine Okrah- Bechem
Shekhan Ibrahim- kutoka JKU

Joseph Guede raia wa Ivory Coast

Azam FC

 Franklin Navaro

Yeison Fuentes

 Mohamed Mustapha

Tanzania Prisons

Jacob Benedict
Feisal Mkoko (huru)
Abdulkarim Segeja
Tariq Simba (Geita/Prisons)
Ally Msengi (Stelenbosch