TIMU ya taifa ya Argentin inatinga hatua ya robo fainali Kombe la Dunia Qatar kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya taifa ya Austaralia.
Kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora uliochezwa Uwanja wa Ahmad bin Ali mashabiki 45,032 walishuhudia burudani hiyo.
Ni mabao ya Lionel Messi ambaye alikuwa nyota kwenye mchezo huo alifunga dakika ya 35 na Julian Alvarez huyu alifunga kipindi cha pili dakika ya 57 kukamilisha maao mawili yaliyoipa ushindi timu hiyo.
Bao la Australia lilikuwa ni lakujifunga dakika ya 77 kupitia kwa E Fernandez kwenye mchezo huo.
Sasa Argentina inatarajiwa kumenyana na timu ya taifa ya Netherlands kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali.
Tottenham Hotspur forward Dominic Solanke battles with Crystal Palace defender Maxence Lacroix during the English championship Premier League football match between Crystal Palace and Tottenham Hotspur on 27 October 2024 at Selhurst Park in London, England - Photo Ian Stephen / ProSportsImages / DPPI (Photo by IAN STEPHEN / ProSportsImages / DPPI via AFP)