Kocha Yanga SC apiga hesabu za ushindi dhidi ya Simba SC
Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC mabingwa wa NBC Premier League vs Simba SC, mabingwa wa CRDB Federation Cup 2025/26 makocha wa timu zote wametamba kutwaa taji hilo. Watani hawa wa jadi wanatarajiwa kushuka Uwanja wa New Amaan Complex, Agosti 12,2026 ikiwa ni Ishara ya ufunguzi pazia la NBC Premier League…