Rashford Arejea Manchester United Apewa Jezi namba 14
Staa wa Manchester United Marcus Rashford amerudi katika kambi ya maandalizi ya baada ya kumaliza mkopo wa msimu mmoja na mabingwa wa Hispania FC Barcelona, nyota huyo amejiunga na kikosi kinachoendelea na maandalizi huko Ireland chini ya kocha Michael Carrick. United imeamua kubaki na Rashford na kumrejesha kwenye mipango ya timu, na taarifa zinaeleza kuwa…