Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League

Simba SC vs Singida Black Stars NBC Premier League ni mchezo unaofuata kwenye ratiba ya NBC Premier League, Juni 27, 2026 ukiwa ni mzunguko wa pili. Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Meja Jenerali Isahmuyo kwa wababe hawa kusaka pointi 3 muhimu ndani ya dakika 90. Ni mchezo unaotoa taswira ya bingwa kupatikana mapema ama…

Read More

Yanga SC vs TRA United KMC Complex

Yanga SC vs TRA United ni mchezo unaofuata NBC Premier League kwa vinara wa NBC Premier kusaka pointi 3 Uwanja wa KMC Complex ukiwa ni mchezo wa 29. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza wababe hawa walitoshana nguvu kwa kugawana pointi mojamoja, huu mchezo unatarajiwa kuwa na  ushindani mkubwa. Aboutwalib Mshery, mlinda mlango wa Yanga…

Read More

Croatia vs Ghana FIFA Kombe la Dunia takwimu

Mchezo wa Croatia dhidi ya Ghana utakuwa na mvuto mkubwa kwa sababu kila timu ina malengo tofauti. Croatia wanahitaji ushindi ili kuendelea, huku Ghana wakihitaji sare tu kufuzu. Unatarajiwa kuchezwa Juni 28,2026, Uwanja wa Lincoln Financial Field, Philadelphia, Pennsylvania, Marekani. Takwimu Muhimu Croatia Ghana Alama: 3pts kutoka mechi 2 Alama: 4pts kutoka mechi 2 Matokeo:…

Read More