Simba SC imetinga fainali Muungano Cup
Simba SC imetinga hatua ya fainali Muungano Cup 2026 kwa ushindi wa magoli 3-0 Mlandege FC. Kituo kinachofuata fainali ni Yanga SC vs Simba SC, Aprili 29, 2026. Magoli ya Simba SC katika nusu fainali ya pili Aprili 26,2026 yamefungwa na Seleman Mwalimu dakika ya 61, Anicet Oura dakika ya 76 na Maema dakika ya…