NBC Premier League ratiba hii hapa/ Mtibwa Sugar vs Yanga
NBC Premier League inaendelea ambapo Jumamosi na Jumapili kuna mechi kali mbili kwa kila timu kupambania pointi tatu muhimu. Machi 21, 2026 ni Mtibwa Sugar vs Yanga SC, saa 10:00 jioni. Mtibwa Sugar wapo nyumbani, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma,watakabiliana na Yanga SC. Mchezo uliopita Mtibwa Sugar ilipoteza kwa kufungwa 3-0 dhidi ya Azam FC mchezo…