TRA United vs Simba SC yaahirishwa, sababu hii hapa
MECHI ya TRA United vs Simba SC iliyotarajiwa kuchezwa leo Machi 14,2026 imeahirishwa kutokana na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji. Kwa mujibu wa Kamishna wa mchezo kati ya TRA United vs Simba SC mechi namba namba 7, Mussa Nyamandege amebainisha kuwa pande zote mbili zimeridhia maamuzi hayo. “Kutokana na sheria namba 1 kutokubalika…