Droo Yatingisha Ulaya: Man City Kukutana na Real Madrid

Hatua ya 16 bora imepangwa rasmi na sasa vigogo wa Ulaya wanakutana kwenye mapambano makali ya kusaka robo fainali: 🏴 Manchester City vs 🇪🇸 Real Madrid🏴 Chelsea vs 🇫🇷 Paris Saint-Germain🏴 Newcastle United vs 🇪🇸 Barcelona🏴 Liverpool vs 🇹🇷 Galatasaray🇩🇪 Bayer Leverkusen vs 🏴 Arsenal🏴 Tottenham Hotspur vs 🇪🇸 Atletico Madrid🇩🇪 Bayern Munich vs 🇮🇹…

Read More

Yanga SC vs Simba SC ni Machi Mosi 2026

Yanga SC vs Simba SC ni Machi Mosi 2026 kwa watani hawa kukutana Uwanja wa New Amaan Complex kusaka pointi tatu. Tayari mwamuzi wa mchezo wa kati jina lake lipo wazi ambaye ni Nassoro Mwinchui kutoka Tanga atahukumu mchezo huo. Yanga SC ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 28 baada ya mechi 10 wanakutana…

Read More