TFF Yafungua Zabuni ya Haki za Kipekee za Ubashiri Dabi ya Kariakoo
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Yanga na Simba utakaochezwa Machi 01, 2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 2.15 usiku. Kupitia taarifa yake ya leo Februari 18, 2026, TFF imewakumbusha wadau…