Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex

Azam FC vs AS Maniema, Jumamosi New Amaan Complex ni mchezo ujao kwa wawakilishi wa Tanzania katika anga la kimataifa. Ni mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi kwenye msako wa kutinga hatua ya robo fainali. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza Azam FC ilipoteza dhidi ya AS Maniema hivyo itaingia uwanjani ikiwa na…

Read More

Malaika Cute Aendeleza Maisha ya Starehe, Mitandao Yachangamka

Sosholaiti maarufu kutoka Tanzania, Malaika Cute, ameendelea kuwa gumzo mitandaoni baada ya kuonyesha maisha yake ya kifahari na yenye kujiamini kupitia ukurasa wake wa Instagram, huku akiambatanisha ujumbe mfupi unaosema “No pressure.” Kupitia picha na video anazochapisha mara kwa mara, Malaika ameonekana akifurahia maisha, akisafiri, kupiga pozi za kuvutia na kuvaa mavazi ya kisasa yanayoonyesha…

Read More