Arsenal Yaendelea Kukimbia EPL Yaichapa Bournemouth 3–2 Ugenini
Arsenal imeendelea kuonesha ubabe kwenye Ligi Kuu England baada ya kupata ushindi wa tano mfululizo, mara hii wakiichapa AFC Bournemouth mabao 3–2 katika dimba la Vitality Stadium. Licha ya wenyeji kuanza kwa kasi kupitia bao la Evanilson dakika ya 11, Arsenal walijibu haraka kupitia Magallanes dakika ya 16 na kufanya matokeo kuwa 1–1 hadi mapumziko….