Morocco 1-0 Tanzania, AFCON 2025
Morocco 1-0 Tanzania raundi ya 16 bora mchezo uliokamilika nchini Morocco kwa wababe wawili kukamilisha dakika 90 za kazi. Goli limefungwa na Brahim Diaz dakika ya 64. Wachezaji wa Tanzania wamepambana kwa ajili ya nembo bila kukata tamaa. Mashuti yaliyopigwa ni 16, Morocco 12-4 Tanzania Yaliyolenga lango ni 3 kwa Morocco na Tanzania 1 Umiliki…