Morocco 1-0 Tanzania, AFCON 2025

Morocco 1-0 Tanzania raundi ya 16 bora mchezo uliokamilika nchini Morocco kwa wababe wawili kukamilisha dakika 90 za kazi. Goli limefungwa na Brahim Diaz dakika ya 64. Wachezaji wa Tanzania wamepambana kwa ajili ya nembo bila kukata tamaa. Mashuti yaliyopigwa ni 16, Morocco 12-4 Tanzania Yaliyolenga lango ni 3 kwa Morocco na Tanzania 1 Umiliki…

Read More

Yanga SC vs KVZ kinawaka leo NMB Mapinduzi Cup

YANGA SC vs KVZ ni mchezo wa kwanza wa ushindani ndani ya mwaka mpya 2026 ambao umeanza na matukio ya michezo yakiendelea. Ikumbukwe kwamba Januari 3 2025, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Pedro Goncalves waliwasili salama Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho mchezo wa leo Januari 4,2026. Kocha huyo ameweka wazi kwamba wanaingia kwa tahadhari…

Read More

Mali Yafuzu Robo Fainali ya AFCON 2025 Baada ya Kuifunga Tunisia kwa Penalti

Djigui Diarra na wenzake wa Mali wametinga robo fainali ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 kufuatia ushindi wa penalti 3-2 dhidi ya Tunisia katika dimba la Mohammed V, Casablanca kwenye hatua ya 16 bora. FT: Mali 🇲🇱 1-1 🇹🇳 Tunisia ⚽ 90+6’ Sinayoko ⚽ 88’ Chaouat MATUTA: 🇲🇱 Mali: ❌✅❌✅✅ 🇹🇳 Tunisia: ✅❌✅❌❌ ROBO…

Read More