Jonathan Sowah bao lake lazua utata Bongo, Nangu atajwa

JONATHAN Sowah mshambuliaji wa Simba SC bao lake alilofunga kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania limezua utata huku ikielezwa kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea. Sowah alifunga bao hilo Novemba 8,2025 Uwanja wa Meja Isahmuyo wakati ubao uliposoma JKT Tanzania 1-2 Simba SC. Mabao matatu yalipatikana kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani, Edward Songo alianza…

Read More

Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazikazi

Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazi nzito kwa wababe wawili uwanjani Novemba 9,2025 kusaka pointi tatu ambapo dakika 45 za mwanzo mzani ulikuwa kwenye usawa. Ni Maxi Nzengeli alifungua ukura wa mabao alipopachika bao la kuongoza dakika ya 36 likawekwa usawa na mshambuliaji wa KMC FC, Daruesh Saliboko dakika ya 42. Kipindi cha pili,…

Read More

Man City vs Liverpool, Real Madrid vs Rayo – Bashiri, Shinda, na Furahia Ukiwa na Meridianbet

Leo hii ukiwa na Meridianbet unaweza ukabadilisha maisha yako kirahisi sana kwani Meridianbet wamekupa nafasi kubwa kwa kukuletea mechi zote za ligi mbalimbali ambazo pia zina machaguo zaidi ya 1000. Tukianza na LALIGA kule Hispania itaendelea ambapo bingwa wa mtetezi wa ligi Real Madrid atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya Rayo Vallecano ambao wapo nafasi ya…

Read More

Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara Novemba 8,2025

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa leo Novemba 8,2025 Jumamosi ya kazikazi kwa wababe kushuka uwanjani kusaka ushindi. Kutakuwa na mechi kubwa mbili katika viwanja tofauti ni Dar na Mwanza ambao watakuwa wanashuhudia mechi za ushindani. Saa 10:00 jioni Pamba Jiji vs Singida Black Stars, itachezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Kwenye msimamo wa ligi,…

Read More

JKT Tanzania vs Simba SC, pointi tatu kwenye msako

JKT Tanzania vs Simba SC ni mchezo wa ligi unaofuata ikiwa ni msimu mpya wa 2025/26 kwa wababe wawili kusaka pointi tatu muhimu. Novemba 8,2025 kazi kubwa itafanyika kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu Uwanja wa Mej Jenerali Isahmuyo. Katika mchezo uliopita msimu wa 2024/25, Simba SC ikiwa ugenini ilivuna pointi kwa ushindi wa…

Read More