MERIDIANBET YAZINDUA PROMOSHENI YA KIPEKEE – SHINDA SAMSUNG A25 KUPITIA AVIATOR

Katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri, ushindi hauishii tu kwenye pesa, sasa unakuja na zawadi za kifahari. Mabingwa wa ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wamezindua promosheni kabambe inayowapa wachezaji nafasi ya kujishindia simu mpya kabisa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Aviator si mchezo mpya kwao. Unahusisha…

Read More

HAWA HAPA TIMU ZINAZOTAJWA KUSHUKA DARAJA EPL 2025/26

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kupasua mshiko uutakao?. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa lakini pia mechi kibao zinapatikana hapa. Bashiri timu ambazo unaona msimu ujao zitashuka daraja na mabingwa wa ubashiri hapa. Leeds United ni moja ya timu ambazo nazo zipo kwenye nafasi kubwa ya kushuka daraja msimu ujao kwani…

Read More

Times FM kutangaza mubashara Kagame Cup

Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo…

Read More

MZUNGUKO MMOJA, BONASI KUBWA UKISHIRIKI ZOMBIE APOCALYPSE

Kwenye kasino mtandaoni, msisimko ni sehemu ya mchezo. Lakini Meridianbet imechukua msisimko huo hatua moja mbele na kuleta Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, tukio linalowashirikisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa michezo na ushindi wa bure. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wanahamasishwa kujiunga na Zombie Apocalypse, mchezo unaochanganya adrenalin na mikakati ya ushindi. Lakini hapa,…

Read More

YANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI

MASHINE za kazi kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/26 zimewasili ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz. Yanga SC ipo kambini Kigamboni kwa maandalizi ya msimu mpya ambapo mchezo wa ufunguzi ni Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba SC, Septemba 16 2025. Ni wachezaji…

Read More

SIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN

INATAJWA kuwa Simba SC imefanikiwa kumsajili beki wa kati wa Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Klabu ya JKT Tanzania, Wilson Nangu kwa mkataba wa miaka miwili. Hivyo beki huyo aliyekuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Yanga SC huenda msimu mpya wa 2025/26 akawa kwenye uzi wa Simba SC. Nangu amekuwa bora kwenye…

Read More