Kiungo huyu Okello kwenye hesabu Yanga SC

INAELEZWA kuwa Yanga SC wamefikia hatua nzuri kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda, ambaye bado kijana. Kijana huyo mwenye maiaka 25 alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC msimu uliopita ilikuwa ngumu kumpata kutokana na kanadarasi yake kuwa ya mwaka mmoja. Kwa sasa ni miezi sita inatajwa kusalia huku…

Read More

Kocha mpya Simba SC tayari kwa kazi

Kocha Mkuu wa Simba SC Steve Barker amewasili nchini kwa maandalizi ya mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Desemba 29,2025 Barker aliwasili Tanzania akiwa na wasaidizi wawili wapya tayari kwa kuwafundisha wachezaji wa timu hiyo yenye maskani yake Msimbazi. Simba SC imetoka kuachana na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev na benchi lake la ufundi kutokana na…

Read More

iMoon Yaungana Na Meridianbet, Teknolojia, Msisimko na Ushindi Vinakutana

Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika historia ya kasino mtandaoni kwa kuileta iMoon, jukwaa linaloleta mabadiliko halisi katika namna wachezaji wanavyocheza na kushinda. Katika enzi ya burudani ya kasi, wapenzi wa kasino hawahitaji tena michezo ya kawaida, wanahitaji uzoefu unaochanganya akili, maamuzi ya haraka na msisimko wa kila sekunde. iMoon limekuja kujibu hitaji hilo. Kupitia ujio…

Read More