AFCON 2025: Gabon 2-3 Msumbiji
JUMAPILI yenye utulivu imeshuhudia moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa na dakika 90 zikikamilika kwa mabao 5 kufungwa uwanjani. Gabon 2-3 Msumbiji mchezo wa hatua ya makundi AFCON 2025 nchini Morocco Desemba 28,2025. Ni mchezo wa pili kati ya mitatu kwa kundi F. Magoli ya Gabon yamefungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 45+5 na Moucketou-Moussounda…