FT: Simba SC 2-0 Yanga SC

Desemba 21,2025 kulikuwa na mchezo wa kirafiki wa Kariakoo Dabi Fans uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex, Dar. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Simba SC Fans 2-0 Yanga SC Fans, magoli yote yakifungwa kipindi cha kwanza. Magoli ya Simba SC yamefungwa na Thobias Sébastien na Dr Mo haya yalidumu mpaka mwisho wa mchezo uliohudhiriwa na…

Read More

AFCON 2025 ratiba hii hapa

Hii hapa ratiba ya AFCON 2025, nchini Morocco ni leo Desemba 21,2025 kazi inaanza na tamati inatarajiwa kuwa Januari 18, 2026 Jumapili, Desemba 21, 2025 Morocco vs Comoros saa 4:00 usiku Jumatatu, Desemba 22,2025 Mali vs Zambia, saa 11:00 jioni Afrika Kusini vs Angola saa 2:00 usiku Misri vs Zimbabwe, saa 5:00 usiku Jumanne, Desemba…

Read More