Bayern Yaamka na Kupindua Meza, Yapiga Sporting 3-1 UCL

Bayern Munich imeonyesha ubabe katika dimba la Allianz Arena baada ya kutoka nyuma 1-0 na kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Kichekesho kilitokea dakika ya 54 baada ya Joshua Kimmich kujifunga na kuwapa Sporting uongozi, lakini Bayern ikarejea mchezoni kwa nguvu na kufunga mabao matatu…

Read More

Chelsea Yapigwa, Liverpool Yang’ara, Barcelona Yapindua Meza Ulaya

Usiku wa jana umeshuhudia matokeo tofauti katika michezo ya Ulaya, huku Chelsea ikipoteza ugenini, Liverpool ikiwahi dakika za mwisho, na Barcelona ikitoa burudani ya kupindua meza. Atalanta 2-1 Chelsea Chelsea imekubali kipigo cha 2-1 dhidi ya Atalanta kwenye mchezo uliochezwa ugenini.Matokeo: ⚽ 55’ Gianluca Scamacca (Atalanta) ⚽ 83’ Charles De Ketelaere (Atalanta) ⚽ 26’ Pedro…

Read More