FIFA Yamwalika Trump Kuhutubia Droo ya Kombe la Dunia 2026, Yazua Mjadala Mkubwa
FIFA imemwalika Rais Donald Trump kuhutubia leo katika Droo ya Kombe la Dunia la 2026 baada ya kupokea tuzo ya kwanza ya amani ya FIFA. Trump atapewa muda wa kuzungumza jukwaani wakati wa hafla hiyo ya takribani saa mbili katika Kituo cha Kennedy huko Washington DC. Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum na Waziri Mkuu wa…