Skip to content
Friday, June 19, 2026
  • Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa
  • Waamuzi Mabena na Komba Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10
  • Yanga Yarejea Kileleni Baada ya Kuizamisha Fountain Gate Arusha
  • Mama wa Kipa wa Cape Verde Vozinha Awasili Praia Kabla ya Safari ya Marekani

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa
  • Waamuzi Mabena na Komba Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10
  • Yanga Yarejea Kileleni Baada ya Kuizamisha Fountain Gate Arusha
  • Mama wa Kipa wa Cape Verde Vozinha Awasili Praia Kabla ya Safari ya Marekani

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • November
  • 23

November 23, 2025

  • International
  • Sports

Simba Yapoteza Mbele ya Petro de Luanda, Yaburuza Mkia Kundi la CAFCL

Saleh7 months ago7 months ago01 mins

Mchezo wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba SC na Petro de Luanda ya Angola umemalizika kwa Wekundu wa Msimbazi kupokea kichapo cha bao 1-0 katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Simba, ambayo ilihitaji ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuendelea na mbio za kutinga robo fainali,…

Read More
  • International
  • Sports

Ureno Yaonesha Ubabe, Yaifumua Tanzania 10–0 Futsal Women’s World Cup

Saleh7 months ago7 months ago01 mins

Pasig, Ufilipino — Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania ya mchezo wa Futsal imeanza kwa mtihani mgumu kwenye fainali za Kombe la Dunia (Futsal Women’s World Cup 2025) baada ya kupokea kipigo kikubwa cha 10–0 kutoka kwa mabingwa wa Ulaya, Ureno, mchezo uliochezwa katika Uwanja wa PhilSports Arena jijini Pasig. Tanzania, inayoshiriki michuano hii…

Read More
  • Sports

Farhan Kihamu Awasha Moto: ‘Negative Yangu Kwa Yanga Ni Facts – Video

Saleh7 months ago01 mins

Mwanahabari na mchambuzi wa soka nchini, Farhan Kihamu (@jr_farhanjr), ameibua mjadala mpya mitandaoni baada ya kueleza kuwa kila anapoandika jambo la upande hasi (negative) kuhusu klabu ya Yanga, basi taarifa hiyo huwa ni ya kweli na imefanyiwa uhakiki wa kina. Kihamu ametoa kauli hiyo kupitia mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye YouTube ya Global TV, akisema uandishi…

Read More
  • Sports

Kila Mechi Ni Pesa Kwako Ukibashiri na Meridianbet Sasa

Saleh7 months ago03 mins

Leo hii ni nafasi yako sasa kutimiza zile ndoto zako ambazo uliziweka ndani ya muda mrefu na Meridianbet. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia. Jisajili na utengeneze jamvi sasa. LIGUE 1 kutakuwa na mechi za kubashiri, Brest atakuwa kibaruani kukiwasha dhidi ya Metz ambao wanashika nafasi ya 14 huku…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.