Simba SC wakali wa Backpass CAF Champions League nyumbani
Simba SC katika mchezo wa CAF Champions League dhidi ya Petro de Luanda waliongoza rekodi ya kupiga pasi nyingi kwenye lango lao ndani ya dakika 90 wakiwa nyumbani, Uwanja wa Mkapa. Rekodi zinaonyesha kuwa Simba SC ilipiga jumla ya back pass 66 huku wageni Petro de Luanda wakipiga jumla ya back pass 56. Katika mchezo…