CAF Cofederation Cup ratiba ipo namna hii

CAF Cofederation Cup ratiba bado inaendelea kupasua anga ambapo wawakilishi wa Tanzania kwenye hatua za makundi watakuwa nyumbani katika mechi za raundi ya pili. Singida Black Stars na Azam FC hizi zitakuwa nyumbani kusaka pointi tatu muhimu baada ya mechi zilizopita za ufunguzi kupoteza ugenini. Ijumaa Novemba 28, Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Florent…

Read More

Yanga SC hao Algeria mapema CAF Champions League

MSAFARA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pedro unatarajiwa kuanza safari mapema leo Novemba 24,2025 kuelekea nchini Algeria. Yanga SC baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AS FAR Rabat ina kibarua kingine kwenye kundi B Novemba 28,2025 mchezo wa kwanza ugenini katika hatua ya makundi. Ipo wazi kuwa ni…

Read More

Mourinho: “Sikubaliani na wachezaji wanaonisaliti” – awajia juu mastaa wa Benfica licha ya ushindi wa 2-0

Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, ameibua mjadala mpya baada ya kutoa lawama kali kwa wachezaji wake licha ya timu yake kushinda 2-0 dhidi ya Atletico CP katika mchezo wa Kombe la Ureno hatua ya raundi ya nne. Benfica iliepuka fedheha dhidi ya timu hiyo ndogo kutoka daraja la tatu, lakini Mourinho – maarufu kwa matamshi…

Read More