Hizi hapa mechi 6 za Romain Folz, Kocha Mkuu Yanga SC

WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6. Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la…

Read More

Kiwanja Kinauzwa – Bagamoyo, Kaole Magambani

Kiwanja kipo Bagamoyo, Kaole Magambani (Nyuma ya Bagamoyo Secondary School) katika eneo tulivu na salama. Umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami Umbali wa mita 500 pekee kutoka ufukweni mwa bahari 📏 Ukubwa na Sifa Eneo lina ukubwa wa 848 sqm (limepimwa rasmi) Tambarare, linafaa kwa ujenzi wa makazi au biashara Ardhi ya kichanga,…

Read More

Meneja Mkuu Simba SC awasili Dar tayari kwa kazi

Meneja Mkuu Dimitar Pentev amewasili Tanzania akitokea Botswana kwa ajili ya kuanza kazi kukifundisha kikosi cha Simba SC. Pentev ameongozana na msaidizi wake, Boyko Kamenov ambaye watafanya naye kazi kwa ushirikiano mkubwa na Seleman Matola katika benchi la ufundi. Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC, Ahmed Ally ameweka wazi…

Read More

Kocha mpya Simba SC kutua leo Bongo

BAADA ya kutambulishwa ndani ya kikosi cha Simba SC kuwa mrithi wa mikoba ya Fadlu Davids, kocha mpya anatarajiwa kuwasili Bongo mapema Oktoba 4 2025. Anaitwa Dimitar Pantev mwenye miaka 49 yeye ni raia wa Bulgaria ambaye alitambulishwa rasmi Oktoba 3 2025 kuwa ni kocha ndani ya kikosi hicho. Kabla ya kutmbulishwa Simba SC alikuwa…

Read More

Huyu hapa atajwa kurithi mikoba ya Fadlu Davids Simba SC

INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi. Inaelezwa kuwa Simba…

Read More

FIFA Yazindua Mpira Mpya “Trionda” kwa Kombe la Dunia 2026

  Shirikisho la soka Duniani, FIFA, limezindua mpira utakaotumika katika Michuano ya Kombe la Dunia 2026 uliopewa jina la Trionda ambapo una teknolojia maalumu. Mpira huo unaitwa ‘Trionda’ -neno la Kihispania linalomaanisha mawimbi matatu ikiwa ni ishara kwamba Kombe la Dunia litaandaliwa na nchi tatu. Mpira huo una rangi tatu, nyekundu, Kijani na Bluu, zikiwakilisha…

Read More