Skip to content
October 4, 2025
  • Dodoma Jiji Yapigwa Faini Milioni 15 kwa Kukosa Kocha Mwenye Sifa
  • Simba SC Yamtambulisha Dimitri Pantev, Sintofahamu Yatawala Nani Kocha Mkuu
  • Sean “Diddy” Combs Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Kesi ya Usafirishaji wa Wanawake
  • Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuikabili Zambia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • October
  • 4

October 4, 2025

  • Sports

Dodoma Jiji Yapigwa Faini Milioni 15 kwa Kukosa Kocha Mwenye Sifa

Saleh25 minutes ago01 mins

Klabu ya Dodoma Jiji FC imepigwa faini ya jumla ya Shilingi milioni 15 za Kitanzania na Bodi ya Ligi Kuu baada ya kushiriki michezo mitatu bila kuwa na kocha mkuu mwenye sifa stahiki. Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara, kila timu inatakiwa kuwa na kocha mwenye leseni ya kiwango kinachokubalika na Shirikisho…

Read More
  • Sports

Simba SC Yamtambulisha Dimitri Pantev, Sintofahamu Yatawala Nani Kocha Mkuu

Saleh48 minutes ago42 minutes ago02 mins

Klabu ya Simba Sc imemtambulisha kocha Dimitri Pantev kama meneja wa timu hiyo huku vyanzo vikieleza kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi atakuwa Selemani Matola kwenye makaratasi ingawa Pandev atakuwa kiongozi na mtendaji mbele ya benchi la ufundi wakati wa michezo. Kocha huyo raia wa Bulgaria ana leseni ya UEFA A hivyo hana vigezo…

Read More
  • Entertainment
  • International

Sean “Diddy” Combs Ahukumiwa Miaka 4 Jela kwa Kesi ya Usafirishaji wa Wanawake

Saleh56 minutes ago02 mins

Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Sean “Diddy” Combs, amehukumiwa kifungo cha miezi 50 (sawa na miaka 4 na miezi 2) gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa mawili ya usafirishaji wa watu kwa ajili ya ukahaba. Combs, ambaye amekuwa akishikiliwa katika gereza la Brooklyn, New York tangu kukamatwa kwake mwezi Septemba…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.