Singida Black Stars kazini leo, kikosi kamili hiki hapa
Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi leo Septemba 20 2025 kitakuwa kazini kwenye kete ya kwanza hatua ya awali Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo imetoka kutwaa ubingwa wa Kagame Cup kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Al Hilal na yote kwa Singida Black Stars yalifungwa na kiungo mshambuliaji Clatous Chama….