HUU NDIO WAKATI WA KUSHINDA ZAIDI NA MERIDIAN BONANZA

Kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, Meridianbet imeleta kitu kipya na cha kusisimua, Meridian Bonanza. Huu ni mchezo wa kasino mtandaoni ulioundwa kwa teknolojia ya kisasa, ukiwa na vipengele vya kipekee vinavyokupeleka karibu na ushindi mkubwa kila unapofanya mzunguko mchezoni. Ni mchezo unaochanganya mbinu, bahati, na msisimko wa kweli. Kipengele cha Ante Bet kinakupa uhuru…

Read More

Times FM kutangaza mubashara Kagame Cup

Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza kesho Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo…

Read More

KIUNGO WA YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

NYOTA Clatous Chama inatajwa kuwa amemalizana na Singida Black Stars kwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuwa hapo msimu wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Chama alikuwa ndani ya kikosi cha Yanga SC ambapo hapo mkataba wake umegota mwisho kwa kuwa alisaini mwaka mmoja. Alikuwa ni mchezaji wa kwanza kutangazwa kuwa Yaga SC akitokea…

Read More

MZUNGUKO MMOJA, BONASI KUBWA UKISHIRIKI ZOMBIE APOCALYPSE

Kwenye kasino mtandaoni, msisimko ni sehemu ya mchezo. Lakini Meridianbet imechukua msisimko huo hatua moja mbele na kuleta Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, tukio linalowashirikisha wachezaji wote kwenye ulimwengu wa michezo na ushindi wa bure. Kila Jumanne na Alhamisi, watumiaji wanahamasishwa kujiunga na Zombie Apocalypse, mchezo unaochanganya adrenalin na mikakati ya ushindi. Lakini hapa,…

Read More