Skip to content
Monday, May 11, 2026
  • Mashabiki West Ham Wakerwa na Uamuzi wa VAR Dhidi ya Arsenal
  • DStv Yazindua Kampeni Kubwa ya Kombe la Dunia 2026 Tanzania
  • Barcelona Yatwaa Ubingwa wa LaLiga Baada ya Kuifunga Real Madrid El Clasico
  • Yanga Yatozwa Milioni 30, Meneja Wake Afungiwa Michezo Mitatu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Mashabiki West Ham Wakerwa na Uamuzi wa VAR Dhidi ya Arsenal
  • DStv Yazindua Kampeni Kubwa ya Kombe la Dunia 2026 Tanzania
  • Barcelona Yatwaa Ubingwa wa LaLiga Baada ya Kuifunga Real Madrid El Clasico
  • Yanga Yatozwa Milioni 30, Meneja Wake Afungiwa Michezo Mitatu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 20

September 20, 2025

  • International
  • Sports

Live: Gaborone United 0-1 Simba SC

Saleh8 months ago8 months ago05 mins

FT: Gaborone United 0-1 Simba SC Bao pekee la ushindi limefungwa na Ellie Mpanzu dakika ya 15 akitumia pasi ya nahodha Shomari Kapombe Zimeongezwa dakika 5 Dakika ya 89 Thomas Chideo anapiga faulo nje kidogo ya 18 unakwenda nje ya lango Dakika ya 87 Willson Nangu anaingia anchukua nafasi ya Ellie Mpanzu ukiwa ni mchezo…

Read More
  • Sports

LIVERPOOL VS EVERTON, UNITED VS CHELSEA – MECHI KALI ZENYE ODDS ZA KIBABE!

Saleh8 months ago8 months ago04 mins

Wikendi yako inaanza vizuri ukiwa na akaunti ya Meridianbet leo. Kila timu inahitaji ushindi huku na wewe ukiwa unahitaji ushindi wako wa maana. Bayern, Chelsea, Juve na wengine kibao wanakungoja leo. LALIGA kule Hispania itarindima siku ya leo ambapo kinara wa ligi Real Madrid atakipiga dhidi ya Espanyol Barcelona ambao mpaka sasa ana pointi 10…

Read More
  • International

Singida Black Stars kazini leo, kikosi kamili hiki hapa

Saleh8 months ago02 mins

Singida Black Stars chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi leo Septemba 20 2025 kitakuwa kazini kwenye kete ya kwanza hatua ya awali Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo imetoka kutwaa ubingwa wa Kagame Cup kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Al Hilal na yote kwa Singida Black Stars yalifungwa na kiungo mshambuliaji Clatous Chama….

Read More
  • International
  • Sports

Yanga SC yaanza kampeni kimataifa kwa ushindi ugenini

Saleh8 months ago8 months ago02 mins

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa, Yanga SC wamefungua pazia kwa ushindi mchezo wa hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Wiliete SC 0-3 Yanga SC mchezo huo ulichezwa Septemba 19 2025. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz inaanza kete yake ya kwanza kimataifa msimu wa…

Read More
  • International

Simba SC kazini kuivaa Gaborone United Ligi ya Mabingwa Afrika

Saleh8 months ago8 months ago02 mins

SEPTEMBA 20 2025 ni Gaborone United vs Simba SC mchezo wa hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wababe hawa watakuwa katika dakika 90 za kusaka ushindi kabla ya mchezo wa pili utakaotoa mshindi wa jumla atakayekwenda hatua inayofuata. Fadlu Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amesema wanachohitaji ni ushindi ili kutimiza malengo ya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.