KANUNI KWA TIMU AMBAYO HAITAFIKA UWANJANI 2025/26

WAKATI kivumbi cha Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC kikitarajiwa kuanza Septemba 17 2025, kuna maboresho ya kanuni kwa timu ambayo haitafika uwanjani bila sababu itakayokuwa inakubalika na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) Ni Kanuni ya 31, kutofika uwanjani inasema hivi:- Timu yoyote itakayokosa kufika uwanjani bila ya sababu za msingi zinazokubalika kwa TPLB…

Read More

YANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI

MASHINE za kazi kwa ajili ya msimu mpya wa 2025/26 zimewasili ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz. Yanga SC ipo kambini Kigamboni kwa maandalizi ya msimu mpya ambapo mchezo wa ufunguzi ni Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya Simba SC, Septemba 16 2025. Ni wachezaji…

Read More