HILI HAPA JAMBO KUBWA LINAFUATA KWA AZAM FC

MATAJIRI wa Dar Azam FC wanakuja na jambo kubwa jingine ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu wa 2025/26 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Azam FC imekamilisha mzunguko wa pili msimu wa 2024/25 ikiwa na pointi 63 itashikriki Kombe la Shirikisho Afrika tayari imeanza kutambulisha wachezaji wake wapya. Julai 3 2025 ilimtambulisha beki mzawa kutoka Coastal Union,…

Read More