FAINALI CRDB FEDERATION CUP KUPIGWA JUNI 29 2025

MCHEZO wa fainali ya CRDB Federation Cup kati ya Yanga SC vs Singida Black Stars umepelekwa mbele mpaka Juni 29 2025, Uwanja wa New Amaan saa 2:15 usiku. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Juni 28 2025, mabadiliko hayo yametokana na uwepo wa mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga SC vs Simba SC. Mchezo wa…

Read More

JEAN AHOUA ANAONGOZA CHATI YA UFUNGAJI BONGO

KWENYE eneo la kuitafuta tuzo ya ufungaji bora kazi inazidi kupamba moto ndani ya ligi ambapo wachezaji wamekuwa wakifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yao wakipambania kusepa na pointi tatu. Katika eneo la utupiaji mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Jean Ahoua wa Simba SC ambaye ametupia jumla ya mabao 16 msimu wa 2024/25…

Read More