Skip to content
Friday, April 17, 2026
  • Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League
  • Chelsea Wafikiria Kumuuza Alejandro Garnacho Baada ya Msimu Mgumu Stamford Bridge
  • Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United
  • ‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Namungo FC vs Simba SC NBC Premier League
  • Chelsea Wafikiria Kumuuza Alejandro Garnacho Baada ya Msimu Mgumu Stamford Bridge
  • Robo Fainali FA Yaibua Mvutano Mkali; Yanga Yapangwa na JKT, Simba Dhidi ya TRA United
  • ‘Star Boy’ Allan Okello Atinga Kilele cha Pasi za Mabao Ligi Kuu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • June
  • 19

June 19, 2025

  • Sports

SHINDA MARA MBILI NA GG&3+! INTER MIAMI VS FC PORTO NI TIKETI YAKO YA MAOKOTO!

Saleh10 months ago10 months ago02 mins

Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake nafasi za kipekee kushinda zaidi kupitia chaguo lae la GG&3+ na utapata mara mbili zaidi. Katika mechi kali ya Inter Miami vs FC Porto, bashiri ya GG & 3+ ndiyo tiketi yako ya ushindi maradufu. Bashiri kuwa timu zote zitafunga (GG) na kutakuwa na zaidi ya magoli matatu (3+) na…

Read More
  • Entertainment

Heineken Silver Ushers in a New Era of Premium Nightlife in Tanzania

Saleh10 months ago10 months ago01 mins

Heineken Silver made a bold and unforgettable debut in Tanzania, launching not just a drink, but a revolution in nightlife. Held underground for the first time ever, the launch event broke tradition and redefined premium experiences for a new generation. In a move that set a new standard, the event had no VIP section; every…

Read More
  • Sports

ZIMEKUSANYWA 5 G TATU MZUNGUKO WA 29, 2024/25

Saleh10 months ago10 months ago02 mins

Baada ya dakika 90 kukamilika mzunguko wa 29 jumla yamefungwa mabao 22 kutoka katika viwanja 8 tofautitofauti msimu wa 2024/25 kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kutoka viwanja 8 ni Uwanja wa Majaliwa pekee dakika 90 ziligota mwisho bila kupatikana kwa bao kwa timu zote mbili ambapo ubao ulisoma Namungo FC…

Read More
  • Sports

FAINALI CRDB FEDERATION CUP KUPIGWA JUNI 29 2025

Saleh10 months ago01 mins

MCHEZO wa fainali ya CRDB Federation Cup kati ya Yanga SC vs Singida Black Stars umepelekwa mbele mpaka Juni 29 2025, Uwanja wa New Amaan saa 2:15 usiku. Awali mchezo huo ulitarajiwa kuchezwa Juni 28 2025, mabadiliko hayo yametokana na uwepo wa mchezo wa Kariakoo Dabi kati ya Yanga SC vs Simba SC. Mchezo wa…

Read More
  • Sports

SOPU AMEWAKA, AZAM FC YAFUNGA 10 NDANI YA DAKIKA 180

Saleh10 months ago10 months ago02 mins

ABDUL Sopu nyota wa Azam FC anayevaa uzi namba 9 utambulisho wake akiwa uwanjani amezidi kurejea katika ubora katika mechi za mzunguko wa pili baada ya kuwa nje kwa muda katika mzunguko wa kwanza. Wakati Azam FC ikivuna pointi tatu mbele ya Tabora United Juni 18 2025, ubao wa Uwanja wa Azam Complex uliposoma Azam…

Read More
  • Sports

JEAN AHOUA ANAONGOZA CHATI YA UFUNGAJI BONGO

Saleh10 months ago10 months ago02 mins

KWENYE eneo la kuitafuta tuzo ya ufungaji bora kazi inazidi kupamba moto ndani ya ligi ambapo wachezaji wamekuwa wakifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yao wakipambania kusepa na pointi tatu. Katika eneo la utupiaji mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ni Jean Ahoua wa Simba SC ambaye ametupia jumla ya mabao 16 msimu wa 2024/25…

Read More
  • Sports

3 OAKS GAMING YATUA MERIDIANBET, MCHEZO MPYA, USHINDI MPYA

Saleh10 months ago10 months ago02 mins

Habari njema kwa wapenda kasino mtandaoni. Meridianbet inakuletea 3 Oaks Gaming, mtoa huduma mpya kabisa ambaye anakuja na michezo mipya, ya kisasa, na yenye nafasi kubwa za ushindi. Kama ulidhani umeshaona kila kitu kwenye kasino, subiri hadi ujaribu 3 Oaks. Michezo ya 3 Oaks Gaming imetengenezwa kwa ubunifu wa hali ya juu, ikiwa na muonekano…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.