
JEAN AHOUA KWENYE RADA ZA KAIZER CHIEFS
INAELEZWA kuwa Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 yupo kwenye rada za mabosi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Ahoua ni anayevaa jezi namba 10 mgongoni ana uwezo kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao akiingia kwenye…