HIVI NDIVYO SIMBA WATAIKABILI TABORA UNITED

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids wamebainisha kuwa mchezo wao dhidi ya Tabora United hautakuwa mwepesi ila wamejipanga kuwakabili kwa  mbinu uwanjani kwa kujituma mwanzo mwisho ndani ya uwanja. Simba ni namba moja kwenye msimamo wa ligi namba nne kwa ubora ni pointi 40 zipo kibindoni baada ya…

Read More

YANGA TAYARI KUMALIZANA NA KAGERA SUGAR

WALTER Harrison, Meneja wa Yanga amesema kuwa maandalizi kuelekea mchezo wao wa Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex yapo tayari na wanaendelea kufanya kwa umakini mkubwa. Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa wababe hawa kukutana ndani ya ligi kwa kuwa katika mzunguko wa kwanza kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kaitaba baada ya…

Read More

MUHIMBILI YANEEMEKA NA UJIO WA MERIDIANBET

Ukipata kidogo basi gawana na wengine ndivyo ambavyo hufanya Meridianbet kampuni ya ubashiri Tanzania, ambapo leo hii walikuwa na zoezi la kugawa aprons wa mama ntilie wa Muhimbili. Aprons hizo zilitolewa na mama ntilie wanaofanya kazi katika maeneo ya karibu na Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam. Msaada huu unalenga kuboresha usalama na hali ya…

Read More