YANGA KAMILI KIMATAIFA KUIKABLI AL HILAL

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa watafanya kazi kubwa kupata matokeo dhidi ya Al Hilal kutokana na ugumu uliopo kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Sead Ramovic tayari imeshatia timu nchini Mauritania kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Januri 12 2025….

Read More

NYAKUA MILIONI MOJA KUPITIA SHINDANO LA MABINGWA LA EXPANSE

Nafasi ya kuhakikisha unaifanya Januari yako inakua nzuri na sio kama wengine wanavyoilalamikia unayo leo kwa kufanya jambo moja tu!! Jambo lenyewe ni kuhakikisha unashiriki shindano la mabingwa la Expanse kupitia Meridianbet ambalo litakupa fursa ta kushinda kitita kinono. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa…

Read More