USHINDI UNAO MKONONI MWAKO LEO

Mechi za leo ni moto sana na zinaweza kukupatia ushindi mkali sana kuanzia pale Uingereza mpaka kule Saudia. Ingia kwenye akaunti yako na usuk ejamvi lako la ushindi hapa. Hispania kutakuwa na mchezo mmoja wa SUPER CUP kati ya Real Madrid vs RCD Mallorca ambao kwenye ligi wapo nafasi ya 6 huku Real wao wakiwa…

Read More

MASTAA HAWA OUT YANGA, KUIKOSA AL HILAL KIMATAIFA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kimataifa dhidi ya Al Hilal unaotarajiwa kuchezwa Jumapili ya Januari 12 2025 nchini Mauritania Yanga kutoka Tanzania itawakosa wachezaji watatu kwenye uwanja kwa kuwa hawapo kwenye mpango wa benchi la ufundi. Ni Uwanja wa de la Capitale watashuka Yanga chini ya Kocha Mkuu, Sead Ramovic kusaka pointi…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU NDEFU KIMATAIFA

MWENYEKITI wa Simba, Murtanza Mangungu amesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa ni kupata matokeo kwenye mechi zijazo hivyo masuala ya kufikiria nani atapata nini kwa sasa iwekwe kando na badala yake nguvu iwe kwenye kupata ushindi. Ikumbukwe kwamba Simba ipo kwenye kundi ambalo lina ushindani mkubwa kwa timu tatu kuwa kwenye ubora katika mechi za…

Read More